Westfm Kenya
Radio Stations
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us
No Result
View All Result
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us
No Result
View All Result
Westfm Kenya
No Result
View All Result
Home Uncategorized

Hatimaye Kiwanda cha Pan Paper kitafunguliwa

Nebert Wafula by Nebert Wafula
April 29, 2016
in Uncategorized
0
Rai Paper Mills is set to play a vital role in Bungoma County's economy after the reopening of phase two

Rai Paper Mills is set to play a vital role in Bungoma County's economy after the reopening of phase two

0
SHARES
11
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Ufuatao ni mhutasari wa matukio yaliyogonga vichwa vya habari kama tulivyo yapokea katika chumba chetu cha habari leo.

Raisi aahidi kufunguwa kiwanda cha Pan Paper

Rais Uhuru Kenyatta ameahidi kuwa serikali yake inaenda kufufua kiwanda cha karatasi cha Pan Paper mjini Webuye kwa muda wa miezi mitatu ijayo ili kuimarisha uchumi wa kaunti ya Bungoma na nchi hii kwa ujumla

Akihutubu katika ikulu ya Nairobi rais amesema kuwa kuporoka kwa kiwanda hicho kulirudisha nyuma maendeleo eneo la Webuye na eneo la magharibi huku idadi kubwa ya watu ikikosa ajira

 Wakimbizi wa ndani kwa ndani Vihiga hawajafidiwa-gavana

pan
Gavana wa kaunti ya Vihiga Moses Akaranga akizungumza

Gavana wa kaunti ya vihiga Moses Akaranga anasema kuna wakimbizi wa ndani kwa ndani katika eneo hilo ambao walipoteza mali yao baada ya ghasia za uchaguzi wa mwaka wa elfu mbili na kumi na saba na  hadi sasa  hawaja fidiwa na serikali.

Kizaazaa Likuyani, mkaazi afumaniwa na mke wa jirani  

Kulizika kizaazaa katika kijiji cha Mutembei kata ya Kongoni kaunti ndogo  ya Likuyani, baada ya mzee  wa mtaa huo Geofrey Wafula Simiyu  kufumaniwa akila uroda na jiraniye wakike.

Gavana wa Nandi azindua miradi ya maji

Gavana wa kaunti ya Nandi daktari Cleophas Lagat, ameandaa misururu ya mikutano katika wadi ya Kaptel/Kamoiywo kwenye eneo bunge la Chesumei kuzindua  rasmi miradi mbalimbali ya maji kwa wenyeji wa eneo hilo.

Mradi wa kusambaza stima wazinduliwa Butere

Maelfu ya wakaazi wilayani Butere wana kila sababu ya kutabasamu, baada ya mfanyi biashara mmoja kutoka eneo hilo Tindi Mwale, kuzindua mradi wa kusambaza stima kwa zaidi ya nyumba elfu nne.

Mshukiwa wa utapeli atiwa mbaroni Webuye mashariki

Maafisa wa polisi mjini Webuye wamemtia mbaroni mwanamume mmoja anayeshukiwa kuwa miongoni mwa kundi la watu wanaowatapeli wakaazi hela zao.

Kwa kina cha habari hizi na zinginezo sikiliza West Fm katika masafa ya 94.9 na 104.1,  au katika mtandao kwenye www.westfm.co.ke. Tegea runinga yetu ya West TV katika masafa yaStartimes 118 na Go Tv 805.

 

 

 

Tags: kufunguliwamradi ya maji nandipan paper
Previous Post

Press freedom in Kenya is still a mirage

Next Post

First Lady opens beyond zero clinic in Kitale

Nebert Wafula

Nebert Wafula

Next Post
first,lady, free,mama

First Lady opens beyond zero clinic in Kitale

Stay Connected test

  • 14.6k Followers
  • 23.8k Followers
  • 99 Subscribers
  • Trending
  • Comments
  • Latest
The baby was pronounced dead on arrival at Lumakanda hospital

A KCSE candidate dies after giving birth in Lugari

November 9, 2019
Mr. Walter Akhonya shows the herbal medicine he claims can cure AIDS

Lugari farmer claims to have found HIV/AIDS cure, dares researchers to prove him wrong

December 2, 2019
The vehicle that was involved in the accident

Vehicle transporting a corpse involved in an accident in Likuyani

November 9, 2019
The lorry that was supposed to transport the stolen animals

Stolen animals recovered in Turbo forest

November 23, 2019
Student drowns at Friends school Kamusinga

Student drowns at Friends school Kamusinga

4
swept

Man swept away by raging waters of Kipkaren River

4
KCSE Bungoma

Jubilation in Bungoma after 2015 KCSE results

3
Busia KCSE 2015

Anxiety in Busia as Nambale Boys results are withheld

3
CS agriculture Mithika Linturi at Kapenguria NCPB.

Implementing multimillion Nasukuta Modern Abattoir In West Pokot

March 25, 2023
Resident in the river ready to retrieve the body

A decomposed body of a man retrieved from Kipkaren River

March 25, 2023
Bungoma county workers on site

Bungoma County plans to drill more boreholes for residents

March 22, 2023
Swearing in of Rose Angira CECM Youth gender and social welfare

‘No laxity’. Nandi governor tells County CO’S AND CEC’S

March 21, 2023

Recent News

CS agriculture Mithika Linturi at Kapenguria NCPB.

Implementing multimillion Nasukuta Modern Abattoir In West Pokot

March 25, 2023
Resident in the river ready to retrieve the body

A decomposed body of a man retrieved from Kipkaren River

March 25, 2023
Bungoma county workers on site

Bungoma County plans to drill more boreholes for residents

March 22, 2023
Swearing in of Rose Angira CECM Youth gender and social welfare

‘No laxity’. Nandi governor tells County CO’S AND CEC’S

March 21, 2023

We bring you the best Premium WordPress Themes that perfect for news, magazine, personal blog, etc. Check our landing page for details.

Follow Us

Browse by Category

  • Agriculture
  • Business
  • Chronicle
  • Covid-19
  • Culture
  • Development
  • Education
  • Elections 2022
  • Environment
  • Health
  • Latest News
  • Market
  • Money
  • Opinion and Editorial
  • Politics
  • Sports
  • Stock
  • Uncategorized
  • West FM Editorials
  • West FM News

Recent News

CS agriculture Mithika Linturi at Kapenguria NCPB.

Implementing multimillion Nasukuta Modern Abattoir In West Pokot

March 25, 2023
Resident in the river ready to retrieve the body

A decomposed body of a man retrieved from Kipkaren River

March 25, 2023
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us

© 2023 West FM MEDIA

No Result
View All Result
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us

© 2023 West FM MEDIA