Westfm Kenya
Radio Stations
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us
No Result
View All Result
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us
No Result
View All Result
Westfm Kenya
No Result
View All Result
Home Uncategorized

Viwango vya masomo Sirisia vyadidimia

Peter Nyongesa by Peter Nyongesa
May 31, 2016
in Uncategorized
0
0
SHARES
17
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Kila siku, www.westfm.co.ke inakuletea kwa muhtasari matukio muhimu yanayogonga vichwa vya habari ili upate kujua yaliyotendeka ndani na nje ya nchini kwa urahisi. Haya ndiyo matukio tuliyoyapa uzito siku ya Jumanne, Mei 31.

Viwango vya masomo vyadidimia Sirisia

Wito umetolewa kwa washika dau mbalimbali katika sekta ya elimu kwenye kaunti ndogo ya Sirisia kushirikiana kikamilifu ili kuboresha viwango vya masomo ambavyo vinaendelea kudidimia.

Wakaazi Sabatia wapinga kuhamiswa kwa shule ya Vokoli

Baadhi ya viongozi katika wadi ya Wodanga katika eneo bunge la Sabatia wakiongozwa na mwakilishi wa wadi hiyo Vincent Atsiaya wamepinga hatua ya kuhamishwa kwa shule ya wasichana ya Vokoli kutoa nafasi kwa kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Vihiga cha Sayansi na Teknolojia.

Muungano wa wauguzi wapinga uhamisho wa wauguzi Kakamega

Muungano wa wauguzi katika kaunti ya Kakamega umepinga pendekezo la serikali ya kaunti kuwapa uhamisho wa jumla wauguzi ambao wamehudumu katika vituo vya afya kwa zaidi ya miaka sita.

viwango

N.C.P.B yawapa waathriwa wa mafuriko Trans Nzoia msaada

Wakaazi wa eneo la Marinda katika kaunti ya Trans Nzoia ambao waliathirika na mafuriko kufuatia kuvunja kwa kingo ya mto Sabwani hii leo wamepata msaada wa mahindi kutoka shirika la bodi ya nafaka na mazao (N.C.P.B.).

Kimataifa

Takriban watu saba waliuwawa siku ya Jumatatu mashariki mwa mji wa Asaba, nchini Nigeria katika vita dhidi ya watu wa jamii ya Biafra wanaotaka kujitenga na jeshi la taifa hilo kulingana na shirika la habari la Associated Press.

WHO yatoa onyo dhidi ya virusi vya Zika, yawataka watu kumakinika

Shirika la afya dunia (WHO) linawahimiza watu wanaotoka katika sehemu zilizoathirika na virusi vya zika kuzingatia mbinu za kujikinga endapo mtu anafanya mapenzi ama kujiepusha na ngono kwa muda wa wiki nane.

WHO pia imeongeza kwamba wanawake waepukane na kupata mimba kwa miezi sita iwapo mwenzake wa ndoa amekuwa na dalili za virusi vya ugonjwa huo.

 

Tags: news highlights 31st May
Previous Post

Chemelil Sugar Co. farmers ask to be paid 250M debt

Next Post

Church oppose ban on prayers in schools in third term

Peter Nyongesa

Peter Nyongesa

Next Post
ban

Church oppose ban on prayers in schools in third term

Stay Connected test

  • 14.6k Followers
  • 23.8k Followers
  • 99 Subscribers
  • Trending
  • Comments
  • Latest
The baby was pronounced dead on arrival at Lumakanda hospital

A KCSE candidate dies after giving birth in Lugari

November 9, 2019
Mr. Walter Akhonya shows the herbal medicine he claims can cure AIDS

Lugari farmer claims to have found HIV/AIDS cure, dares researchers to prove him wrong

December 2, 2019
The vehicle that was involved in the accident

Vehicle transporting a corpse involved in an accident in Likuyani

November 9, 2019
The lorry that was supposed to transport the stolen animals

Stolen animals recovered in Turbo forest

November 23, 2019
Student drowns at Friends school Kamusinga

Student drowns at Friends school Kamusinga

4
swept

Man swept away by raging waters of Kipkaren River

4
KCSE Bungoma

Jubilation in Bungoma after 2015 KCSE results

3
Busia KCSE 2015

Anxiety in Busia as Nambale Boys results are withheld

3
Lusaka rubbishes COB report on travelling expenditure

Lusaka rubbishes COB report on travelling expenditure

September 29, 2023

Kenya, Tanzania and Uganda to host the finals of the African Cup of Nations in 2027

September 28, 2023
Women leaders asked to actively champion for a girl child’s rights

Women leaders asked to actively champion for a girl child’s rights

September 28, 2023
Milimani Senior Principal Magistrate Everlyn Olwande

Bungoma needs more law courts to cater for backlog of cases

September 27, 2023

Recent News

Lusaka rubbishes COB report on travelling expenditure

Lusaka rubbishes COB report on travelling expenditure

September 29, 2023

Kenya, Tanzania and Uganda to host the finals of the African Cup of Nations in 2027

September 28, 2023
Women leaders asked to actively champion for a girl child’s rights

Women leaders asked to actively champion for a girl child’s rights

September 28, 2023
Milimani Senior Principal Magistrate Everlyn Olwande

Bungoma needs more law courts to cater for backlog of cases

September 27, 2023

We bring you the latest News from Kenya, and cover the Western region like no other. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Education and Health.

Follow Us

Browse by Category

  • Agriculture
  • Business
  • Chronicle
  • Covid-19
  • Culture
  • Development
  • Education
  • Elections 2022
  • Entertainment
  • Environment
  • Health
  • Latest News
  • Market
  • Money
  • Opinion and Editorial
  • Politics
  • Religion
  • Security
  • Sports
  • Stock
  • Uncategorized
  • West FM Editorials
  • West FM News
  • Women and girls

Recent News

Lusaka rubbishes COB report on travelling expenditure

Lusaka rubbishes COB report on travelling expenditure

September 29, 2023

Kenya, Tanzania and Uganda to host the finals of the African Cup of Nations in 2027

September 28, 2023
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us

© 2023 West FM MEDIA

No Result
View All Result
  • Business
  • Agriculture
  • Sports
  • WestFM Live
  • Mumbo FM
  • Contact Us

© 2023 West FM MEDIA